Ibada

Ibada



Free

2.1for iPhone, iPad
Age Rating
4+
Apps in this category do not contain restricted content.
9+
Apps in this category may contain mild or occasional cartoon, fantasy or real-life violence, as well as occasional or mild adult, sexually suggestive or horrifying content and may not be suitable for children under 9 years of age.
12+
Apps in this category may contain occasional mild indecent language, frequent or intense cartoon or real-life violence, minor or occasional adult or sexually suggestive material, and simulated gambling, and may be for children under 12 years of age.
17+
You must be at least 17 years old to access this App.
Apps in this category may contain frequent and intense offensive language; Frequent and intense cartoon, fantasy or realistic violence: frequent and intense adult, scary and sexually suggestive subjects: as well as sexual content, nudity, tobacco, alcohol and drugs, may not be suitable for children under 17 years of age.
Ibada Screenshots
Ibada posterIbada posterIbada posterIbada poster
Ibada posterIbada posterIbada posterIbada poster

About Ibada

"IBADA" Ni programu tumishi inayokuwezesha kusoma neno la Mungu na kukusogeza karibu na Mungu wako kupitia: Kesha la Asubuhi, Muongozo wa Kujifunza Biblia, Roho ya Unabii na Usomaji wa Biblia kwa mpango.

Programu hii ina vipengele vifuatavyo:

1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku

2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)

3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja

4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku

5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank na M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo

Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
Show More

What's New in the Latest Version 2.1

Last updated on Feb 10, 2017
Old Versions
Changing feedback email
Change the name of the owner
Show More
Version History
2.1
Feb 10, 2017
Changing feedback email
Change the name of the owner
2.0
Mar 1, 2016
Tunayo furaha kubwa kukuletea toleo jipya la IBADA ambalo tumeongeza vipengele vipya.

Vipengele vipya vilivyoongezwa ni

1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku

2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)

3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja ya kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja

4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku

5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank au M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo

Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
1.0
Jun 25, 2015

Ibada FAQ

Click here to learn how to download Ibada in restricted country or region.
Check the following list to see the minimum requirements of Ibada.
iPhone
iPad
Ibada supports English

Ibada Alternative

You May Also Like

Get more from Gideon Msambwa