Removed from the App Store

Ibada

Gideon Msambwa

2.1 for iPhone, iPad
0

0 Ratings

Update Date

2017-02-10

Size

50.6 MB

Screenshots for iPhone

iPhone
Ibada Description
"IBADA" Ni programu tumishi inayokuwezesha kusoma neno la Mungu na kukusogeza karibu na Mungu wako kupitia: Kesha la Asubuhi, Muongozo wa Kujifunza Biblia, Roho ya Unabii na Usomaji wa Biblia kwa mpango.

Programu hii ina vipengele vifuatavyo:

1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku

2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)

3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja

4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku

5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank na M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo

Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
Ibada 2.1 Update
2017-02-10
Changing feedback email
Change the name of the owner
More Information
Price:
Free
Version:
2.1
Size:
50.6 MB
Genre:
Reference Books
Update Date:
2017-02-10
Developer:
DEONHUB LIMITED
Language:
English
In-App Purchases:

Soma Maelezo ya Mwalimu $0.99

Safe to Download

AppPure.com and the download link of this app are 100% safe. The download link of this app will be redirected to the official App Store site, thus the app is original and has not been modified in any way.

Got it
X
Share

Share this page with your friends if you find it useful

Facebook Linkedin Pinterest Tumblr Twitter Whatsapp Line
2.1 2017-02-10
Changing feedback email
Change the name of the owner
2.0 2016-03-02
Tunayo furaha kubwa kukuletea toleo jipya la IBADA ambalo tumeongeza vipengele vipya.

Vipengele vipya vilivyoongezwa ni

1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku

2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)

3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja ya kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja

4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku

5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank au M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo

Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
1.0 2015-06-25