Ibada Screenshots
About Ibada
"IBADA" Ni programu tumishi inayokuwezesha kusoma neno la Mungu na kukusogeza karibu na Mungu wako kupitia: Kesha la Asubuhi, Muongozo wa Kujifunza Biblia, Roho ya Unabii na Usomaji wa Biblia kwa mpango.
Programu hii ina vipengele vifuatavyo:
1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku
2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)
3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja
4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku
5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank na M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo
Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
Programu hii ina vipengele vifuatavyo:
1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku
2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)
3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja
4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku
5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank na M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo
Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
Show More
What's New in the Latest Version 2.1
Last updated on Feb 10, 2017
Old Versions
Changing feedback email
Change the name of the owner
Change the name of the owner
Show More
Version History
2.1
Feb 10, 2017
Changing feedback email
Change the name of the owner
Change the name of the owner
2.0
Mar 1, 2016
Tunayo furaha kubwa kukuletea toleo jipya la IBADA ambalo tumeongeza vipengele vipya.
Vipengele vipya vilivyoongezwa ni
1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku
2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)
3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja ya kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja
4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku
5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank au M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo
Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
Vipengele vipya vilivyoongezwa ni
1. Kesha la Asubuhi
- Utasoma kesha la asubuhi kila siku
- Utasikiliza sauti ya kesha kila siku
2. Muongozo wa Kujifunza Biblia
- Utasoma lesoni yako kila siku
- Utaweza kuchagua somo lolote kati ya masomo 13 ya robo
- Utasikiliza sauti ya somo la wiki moja
- Utatazama video za mjadala wa lesoni kutoka nchi mbalimbali
- Utaweza kubofya fungu lolote la biblia na kusoma hapohapo
- Utasoma maelezo ya Mwalimu na Muhtasari wa kujifunza somo la wiki moja (This is auto-renewing subscription - utapata kwa njia ya kuchangia kwa kila miezi mitatu kiasi cha $0.99, na utapewa mwezi mmoja wa majaribio, na utakuwa na uwezo wa kujiondoa pale utakapopenda)
3. Roho ya Unabii
- Utasoma sura moja ya kitabu cha roho ya unabii kwa wiki moja
4. Usomaji wa Biblia kwa mpango
- Utasoma sura moja ya biblia kila siku
5. Information
- Utawasiliana nasi kwa kutumia barua pepe
- Utatoa maoni juu ya Kiwango cha programu
- Utapata nafasi ya kuchangia fedha za kuendesha programu hii kupitia Bank au M-Pesa
- Utaweka sauti ya kukumbusha (Alarm) muda wa kusoma Neno la Mungu
- Utaweza kufuta Mafaili ya Sauti uliyopakua wakati unasoma Kesha la Asubuhi au Muongozo wa kujifunza Biblia
- Utaona Programu nyingine tulizonazo
Ungana nasi kwa kupakua programu hii uweze kuwa na IBADA yenye maana mbele za Mungu wako.
1.0
Jun 25, 2015
Ibada FAQ
Click here to learn how to download Ibada in restricted country or region.
Check the following list to see the minimum requirements of Ibada.
iPhone
iPad
Ibada supports English